Thursday 7 November 2013

MKURUGENZI MANISPAA SINGIDA JOSEPH MCHINA AWEKA MKAKATI KUUWEKA MJI KATIKA HALI YA USAFI...

MKURUGENZI wa Manispaa Singida Joseph Mchina,akizungmuza na viongozi wa mitaa (hawapo kwenye picha) kuomba ushirikiano kwa ajili ya kuuweka mji katika hali ya usafi, hiyo ilifanyika wakati wa kikao maalumu cha kutambuana siku ya uzinduzi wa mabaraza ya usafi, iliyofanyika katika ukumbi wa chuo cha maendeleo mjini Singida.
MCHUMI wa Manispaa Singida akiwasisitiza jambo wadau wa usafi wa katika mji wa Singida (hawapo pichani) wakati wa kikao maalumu cha kutambuana na kusisitza juu ya mipango ya Manispaa hiyo katika kuuweka mji safi, hiyo ilifanyika katika ukumbi wa chuo cha maendeleo mjini Singida. PICHA nyingine ya katikati ni mmoja wa wadau wa usafi akichangia jambo kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment