Thursday 7 November 2013

HAYA NI MAENDELEO, SIKU HIZI KWENDA KLINIKI NI KUSINDIKIZANA BAINA YA MWANAMKE NA MWANAUME

MMOJA wa wanaume akimsindikiza mke wake kurudi nyumbani baada ya kupatiwa huduma ya Kliniki katika zahanati ya Kijiji cha Matongo Halmashauri ya Wilaya Ikungi, Tabia ambayo inabidi wanaume wote kuiiga ili kujua maendeleo ya mama na mtoto aliyopo tumboni. PICHA ya pili, baadhi ya wauguzi, mganga kiongozi wa zahanati hiyo, mtendaji wa kijiji na mmoja wa wananchi wa kijiji cha Matongo wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya zahanati hiyo , wakionyesha mshikamano wao katika masuala mbalimbali ya afya.
BAADHI ya wauguzi, mganga kiongozi wa zahanati hiyo, mtendaji wa kijiji na mmoja wa wananchi wa kijiji cha Matongo wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya zahanati hiyo , wakionyesha mshikamano wao katika masuala mbalimbali ya afya.

No comments:

Post a Comment