Sunday 7 December 2014

BENKI YA NMB, TAWI LA SINGIDA IMEKABIDHI WATEJA WAKE WAWILI ZAWADI YA BAISKELI, BAADA YA KUSHINDA SHINDANO LILILOANZISHWA NA BENKI HIYO KWA AJILI YA WATEJA WANAOWEKA FEDHA KUPITIA AKAUNTI ZAO, KWENYE BENKI HIYO

MENEJA wa benki ya NMB, Tawi la Singida Bibi. Christine Mwangomo (kulia, akimpa mkono wa hongera mmoja wa wateja kati ya wawili, walioshinda shindano na weka ushinde (mwingine aliyeshinda ni mwanamke lakini hayupo kwenye picha), baada ya kuweka fedha kwenye akaunti yake na kujishindia baiskeli mpya. katikati ni meneja msaidizi wa tawi hilo, Bw. Makoyi.

No comments:

Post a Comment