EMMANUEL MICHAEL AKIPATA MSOSI WA NGUVU...
Mwandishi wa habari Emmanuel Michael akipata chakula muda mfupi mara baada ya kumaliza ratiba ya nusu siku kwa mafunzo ya Online Journalism ikiwa ni siku ya pili ya mafunzo hayo yaliyofanyika Kiomboi mjini Wilayani Iramba na kuhudhuriwa na wanahabari 16 wa Mkoa wa Singida.
No comments:
Post a Comment