Thursday 26 September 2013

MKUU WA MKOA SINGIDA DK.PARSEKO KONE AFUNGUA KIKAO CHA BODI YA BARABARA...

MKUU wa Mkoa Singida Dk. Parseko Kone akifungua kikao cha 35 Bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa jengo la ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo. Kushoto kwake ni Mwenyekiti CCM Mkoa Mgana Msindai na kulia kwake ni Mbunge jimbo Singida Magharibi Mohammed Misanga, Katibu tawala wa Mkoa Liana Hassan na aliyesimama ni Bw. Mwatawala kutoka ofisi ya TAMISEMI Mkoa.

No comments:

Post a Comment