Thursday 26 September 2013

WAANDISHI WA HABARI KWA VITENDO...


Baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Singida wakiwa kwenye mafunzo ya kompyuta yaliyofanyika mjini Kiomboi chini ya ufadhili wa Muungano wa Klabu za habari nchini (UTPC) na kusimamiwa na klabu ya habari Mkoa Singida. Kutoka kushoto ni mwanahabari Damiano Mkumbo, Elisante Mkumbo (mapicha), mkufunzi wa mafunzo hayo John Mnubi kutoka Iringa na wa mwisho ni Festo Sanga. 

No comments:

Post a Comment