Thursday 17 October 2013

KAMBI YA UVCCM SINGIDA VIJIJINI ILIYOFANYIKA KWA SIKU SABA KATIKA KATA KINYETO YAFUNGWA...

KUTOKA kulia,mtu wa pili ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa Wwa Singida, Mgana Msindai akiwa meza kuu kabla ya kufunga kambi ya wiki moja ili kufundwa juu ya mada mbalimbali, yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana CCM Singida Vijijini. Wa kwanza kulia ni mwenyekiti wa CCM Wilayani humo Narumba Hanje na kulia kwa Msindai ni Mwenyekiti wa UVCCM Singida vijijini Shabani Mang’ola.

No comments:

Post a Comment