Wednesday 9 October 2013

WAANDISHI WA HABARI 20 KUTOKA SINGIDA, TABORA, DODOMA NA KIGOMA WAPEWA MAFUNZO JUU YA KUANDIKA HABARI ZA UKATILI DHIDI YA BINADAMU

MKUU wa Wilaya Bahi na Kaimu Mkuu wa Mkoa Dodoma, Betty Mkwasa akiwa na Deodatus Balile mkufunzi wa mafunzo kwa waandishi 20 wa habari juu ya kuandika kwa ufasaha taarifa za Ukatili wa kijinsia dhidi ya binadamu yaliyofanyika katika hotel ya Fifty six Mjini Dodoma. Hapa ni baada ya kuwa amefungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa huo Dk. Rehema Nchimbi. WAANDISHI wa habari 20 kutoka mikoa ya Kigoma, Tabora, Singida na Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja na kaimu mkuu wa mkoa Dodoma Betty Mkwasa (katikati waliokaa kwenye viti), kulia ni mkufunzi wa mafunzo hayo Jamila na kushoto ni Balile.

No comments:

Post a Comment