Thursday 17 October 2013

KAMBI YA UVCCM SINGIDA VIJIJINI ILIVYOFANA WAKATI WA UFUNGAJI ULIOFANYIKA KTK KATA YA KINYETO....

BAADHI ya vijana kutoka UVCCM Singida vijijini wakiwa ndani ya ukumbi katika makao makuu ya kata ya Kinyeto, tayari kumsikiliza mgeni rasmi Mwenyekiti wa CCM mkoa Singida Mgana Msindai (hayupo pichani). Ufungaji rasmi wa kambi hiyo umefanyika leo Oktoba 17,2013.
VIONGOZI mbalimbali wa CCM wakiwemo Makamanda wa UVCCM wa kata zote za Wilaya Singida Vijijini (waliovaa majoho) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa Singida Mgana Msindai, wan ne kutoka kushoto waliosimama, kabla ya kufunga kambi ya vijana iliyoendeshwa kwa siku saba kwenye kata ya Kinyeto. SEHEMU ya vijana, wake kwa waume wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi akifunga kambi hilo la siku saba, lililofanyika kijiji, kata ya Kinyeto Singida Vijijini.

No comments:

Post a Comment