Saturday 19 October 2013

MAHAFALI YA TANO SHULE YA SEKONDARI KATA YA MWARU YAMEFANYIKA LEO SHULENI HAPO

SHULE ya kata Sekondari ya Mwaru iliyopo tarafa ya Sepuka Wilaya Ikungi imefanyika leo shuleni hapo ikitanguliwa na mgeni rasmi katika mahafali hayo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida Mgana Msindai kuwakabidhi vyeti wanafunzi 11 wanaofanya mtihani mwaka huu kuhitimu kidato cha nne.


 
MMOJA wa wanafunzi wa Sekondari ya Mwaru iliyopo tarafa ya Sepuka Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida akipokea cheti kwa mgeni rasmi Mgana Msind Mwenyekiti wa CCM Mki ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Mkoani humo, katika sherehe za mahafali ya tano shuleni hapo leo. PICHA nyingine juu inawaonyesha wanafunzi kidato cha nne wakicheza muziki wa hiphop maarufu kwa jina la ‘Muziki wa kizazi kipya’ kama ishara ya kufurahia kumaliza miaka mine salama.


 SEHEMU ya madarasa ya shule ya Sekondari Mwaru iliyopo tarafa ya Sepuka Wilaya Ikungi Mkoani Singida.

BAADHI ya wazazi na walezi waliohudhuria sherehe hizo.

No comments:

Post a Comment