Tuesday 15 April 2014

MKUTANO MKUU WA WADAU WA MASHAURIANO MANISPAA YA SINGIDA JUU YA MASTER PLAN YA MJI HUO KWA MIAKA 20 IJAYO.

MADIWANI wa Manispaa ya Singida wakiwa kwenye picha ya pamoja na mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone (wa tatu kutoka kushoto mbele waliokaa), baada ya kufungua mkutano mkuu wa Master plan ya mji wa Singida kwa miaka 20 ijayo uliofanyika ukumbi wa chuo cha VETA Mjini Singida.
WENYEVITI wa mitaa Manispaa ya Singida wakiwa na mgeni rasmi Dk. Parseko Kone kwenye picha ya pamoja katika mkutano huo.
Hawa nao ni watendaji wa kata Manispaa ya Singida katika mkutano huo.
Meya wa Manispaa ya Singida Shekhe Salum MOhammed Mahami akishukuru baada ya ufunguzi wa mkutano huo uliofanywa na mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Kone akifungua mkutano huo.
Maofisa kitendo cha mipango miji Manispaa Singida wakiwa kazini katika mkutano huo.
Mkurugenzi wa Manispaa Singida Joseph Mchina (mbele kulia) akiwa na wajumbe wengine wakisikiliza kwa makini mada iliyokuwa inatolewa kwenye mkutano huo.

No comments:

Post a Comment